Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
KIWANDA KIKUBWA CHA KUCHAKATA SAMAKI KUJENGWA NCHINI
November 27, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kufuatia sera nzuri za kuvutia uwekezaji za Serikali ya Mhe. Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan zimeifanya Kampuni ya Albacora kutoka nchini Hispania kuja hapa nchini kujenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha kuchaka samaki.
-
PROF. SHEMDOE: MAAFISA UGANI NDIO INJINI YA NCHI KUWA KAPU LA CHAKULA BARANI AFRIKA
November 27, 2023Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amewataka Maafisa Ugani kutumia taaluma zao vizuri ili kusaidia kutimiza malengo ya Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
-
MAAFISA UVUVI KAMATENI VIWANDA, MADUKA YANAYOUZA NYAVU HARAMU-MNYETI
November 20, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amewataka maafisa uvuvi kote nchini kuhakikisha wanapita kwenye viwanda vya ndani na maduka yote yanayouza nyavu za kuvulia samaki zisizoruhusiwa na kuwachukulia hatua za kisheria badala ya kushughulika moja kwa moja na wavuvi wanaozitumia pindi zikiingia sokoni.
-
MNYETI ATANGAZA KIAMA CHA WAVUVI HARAMU ZIWA TANGANYIKA
November 20, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti ametangaza vita kwa watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo katika Ziwa Tanganyika ambapo ameweka wazi mipango ya Serikali kupitia Wizara yake kuunda kikosi kazi maalum kitakachoshughulikia jambo hilo.