Albamu ya Video

  • WAFUGAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA WAKATI WA USAFIRISHAJI WA MIFUGO

    WAFUGAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA WAKATI WA USAFIRISHAJI WA MIFUGO

    September 09, 2023

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amewataka wafugaji kuzingatia sheria wakati wa usafirishaji wa mifugo kutoka wilaya moja kwenda nyingine.

  • MWAMBA DARASA UMEONGEZA UZALISHAJI WA PWEZA-SILINDE

    MWAMBA DARASA UMEONGEZA UZALISHAJI WA PWEZA-SILINDE

    September 09, 2023

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa mpango wa mwamba darasa uzalishaji wa Pweza umeongezeka ambapo mwaka 2017 uzalishaji eneo la Songosongo ulikuwa tani 9.8 lakini baada ya ufungaji wa hiyari wa uvuvi wa zao hilo uzalishaji uliongezeka hadi tani 37.6 mwaka 2019 zenye thamani ya shilingi milioni 373.5.

  • WARSHA YA KUJADILI NA KUTHIBITISHA TAFITI YA CHANGAMOTO NA FURSA ZA KIJINSIA YAFANYIKA MKOANI KIGOMA

    WARSHA YA KUJADILI NA KUTHIBITISHA TAFITI YA CHANGAMOTO NA FURSA ZA KIJINSIA YAFANYIKA MKOANI KIGOMA

    September 09, 2023

    TAZAMA YALIYOZUNGUMZWA KATIKA WARSHA YA KUJADILI NA KUTHIBITISHA TAFITI YA CHANGAMOTO NA FURSA ZA KIJINSIA KATIKA MNYORORO WA THAMANI WA SAMAKI WA ZIWA TANGANYIKA ILIYOFANYIKA MKOANI KIGOMA

  • MAMLAKA YA USIMAMIZI WA ZIWA TANGANYIKA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI.

    MAMLAKA YA USIMAMIZI WA ZIWA TANGANYIKA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI.

    September 09, 2023

    MAMLAKA YA USIMAMIZI WA ZIWA TANGANYIKA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI KANDA YA ZIWA TANGANYIKA

  • KIPINDI: PROGRAMU YA ATAMIZI-SEKTA YA UVUVI

    KIPINDI: PROGRAMU YA ATAMIZI-SEKTA YA UVUVI

    April 03, 2023

    Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa sekta ya Uvuvi imeanzisha Programu maalumu ya Atamizi kwa vijana waliohitimu elimu ya vyuo vikuu na vile vya kati kwa kuwawezesha mafunzo kwa vitendo kuhusu ukuzaji viumbe maji.. Tazama hapo uone namna programu hiyo inavyotekelezwa, yale waliyojifunza vijana hao na matarajio yao..

.