Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA WAKATI WA USAFIRISHAJI WA MIFUGO
September 09, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amewataka wafugaji kuzingatia sheria wakati wa usafirishaji wa mifugo kutoka wilaya moja kwenda nyingine.
-
MWAMBA DARASA UMEONGEZA UZALISHAJI WA PWEZA-SILINDE
September 09, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa mpango wa mwamba darasa uzalishaji wa Pweza umeongezeka ambapo mwaka 2017 uzalishaji eneo la Songosongo ulikuwa tani 9.8 lakini baada ya ufungaji wa hiyari wa uvuvi wa zao hilo uzalishaji uliongezeka hadi tani 37.6 mwaka 2019 zenye thamani ya shilingi milioni 373.5.
-
WARSHA YA KUJADILI NA KUTHIBITISHA TAFITI YA CHANGAMOTO NA FURSA ZA KIJINSIA YAFANYIKA MKOANI KIGOMA
September 09, 2023TAZAMA YALIYOZUNGUMZWA KATIKA WARSHA YA KUJADILI NA KUTHIBITISHA TAFITI YA CHANGAMOTO NA FURSA ZA KIJINSIA KATIKA MNYORORO WA THAMANI WA SAMAKI WA ZIWA TANGANYIKA ILIYOFANYIKA MKOANI KIGOMA
-
MAMLAKA YA USIMAMIZI WA ZIWA TANGANYIKA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI.
September 09, 2023MAMLAKA YA USIMAMIZI WA ZIWA TANGANYIKA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI KANDA YA ZIWA TANGANYIKA
-
KIPINDI: PROGRAMU YA ATAMIZI-SEKTA YA UVUVI
April 03, 2023Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa sekta ya Uvuvi imeanzisha Programu maalumu ya Atamizi kwa vijana waliohitimu elimu ya vyuo vikuu na vile vya kati kwa kuwawezesha mafunzo kwa vitendo kuhusu ukuzaji viumbe maji.. Tazama hapo uone namna programu hiyo inavyotekelezwa, yale waliyojifunza vijana hao na matarajio yao..