Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
Serikali kutoa vibali, leseni za mazao ya Mifugo na vyakula vya samaki kielektroniki..
June 26, 2022.
-
SEKTA YA UVUVI KUANDAA DAFTARI LA VIASHIRIA HATARISHI
June 26, 2022.
-
MAUZO YA MIFUGO HAI NA NGOZI KUPITIA MFUMO WA KIELEKTRONIKI, MEI 07, 2022 MKOANI KILIMANJARO.
May 12, 2022.
-
YALIYOJIRI APRILI, 2022.
May 12, 2022Tazama yaliyojiri Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mwezi Aprili, 2022!
-
MAKALA: UMUHIMU WA KUPIMA VYAKULA VYA MIFUGO
May 12, 2022Karibu katika makala maalum inayoandaliwa na wizara ya mifugo na uvuvi ili kukufahamisha majukumu, mafanikio, mikakati na fursa mbalimbali zilizopo kupitia wizara hii na taasisi zilizo chini yake, pamoja na kukuelimisha wewe mwananchi namna unavyoweza kujikwamua kiuchumi kupitia sekta za mifugo na uvuvi. Katika makala ya leo utafahamu utendaji kazi wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), hususan kupima na kuhakiki ubora na usalama wa vyakula vya mifugo shughuli ambazo zinafanywa katika maabara hiyo Iliyopo Wilaya ya Temeke Mkoani Dar es Salaam.