Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Sera ya Faraga

Mamlaka inachukulia faragha ya wateja na wanaotembelea tovuti yetu na watumiaji wa mifumo yetu kwa umuhimu mkubwa. Sera hii inaeleza hatua tunazochukua kuhifadhi na kulinda faragha yako unapotembelea au kuwasiliana na tovuti yetu au wafanyakazi.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo