Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
14
Jan
2025TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI JULAI HADI DESEMBA 2024 YAJADILIWA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Deodatus Mwanyika wamepokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi... Soma zaidi
-
13
Jan
2025DKT KIJAJI: "MAPINDUZI SEKTA YA MIFUGO YANAANZA NA MFUGAJI MWENYEWE”
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuelekea mapinduzi makubwa katika Sekta ya Mifugo, miongoni mwa mambo muhimu ni wafugaji kuogesha mifugo yao ili kuwa bora na sekta hiyo kuchangia zaidi katika pato la taifa. Soma zaidi
-
10
Jan
2025RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA, KWA WATOTO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ametaka wazazi na walezi wa watoto kutekeleza vyema majukumu yao katika malezi ili shule ziwe na watoto wenye nidhamu na maadili kwa kuwaandaa kuwa wataalamu na viongozi. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi