Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
11
Jun
2023JUHUDI ZA PAMOJA ZINAHITAJIKA KULINDA BAHARI- DKT. MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amesema zinahitajika juhudi za pamoja za ndani ya nchi, kikanda na kimataifa katika kuweka mikakati ya kulinda rasilimali za bahari vinginevyo ifikapo mwaka 2050 bahari itakuwa imeelemewa. Soma zaidi
-
11
Jun
2023SHEKHE WALID, MCHUNGAJI MWAMPOSA MABALOZI UHIFADHI WA BAHARI
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema Wizara yake itawatumia Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shekhe Walid Alhad Omar na Mchungaji wa Kanisa la Arise and Shine na Boniface Mwamposa kuwa mabalozi wa uhifadhi wa Bahari.................... Soma zaidi
-
11
Jun
2023MWANI YAWA LULU MKOANI LINDI
Zao la Mwani limeanza kukimbiliwa na wananchi wengi wa mkoa wa Lindi kutokana na kuongezeka kwa bei ya zao hilo sokoni kadri siku zinavyokwenda. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi





