Habari

  • SERIKALI KUBORESHA MINADA NCHINI

    July 14, 2024

    Wizara ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imejipanga kuboresha miundombinu ya Minada iliyopo nchini ili iweze kukidhi mahitaji ya watumiaji hasa katika sehemu za uzio, vyoo, maji, taa pamoja na mifumo ya malipo.

  • ULEGA ASHIRIKI KILELE CHA MKUTANO WA UVUVI MDOGO JIJINI ROMA, ITALIA

    July 08, 2024

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega yupo nchini Italia kushiriki kilele cha Mkutano wa Uvuvi Mdogo Duniani.

  • ULEGA-HUU NI MWAKA WA MATOKEO

    July 04, 2024

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ameitaka menejimenti ya wizara kuhakikisha katika mwaka wa fedha 2024/25 kila mmoja katika nafasi yake anawajibika ipasavyo ili utekelezaji wa miradi uwe na matokeo ya kupigiwa mfano.

  • MWONGOZO MPYA KUWASAIDIA WAVUVI MAJI MADOGO NA MAENEO OEVU

    July 04, 2024

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Uvuvi kwenye Maji madogo ikiwa ni njia mojawapo ya kuweka usimamizi mathubuti kulingana na changamoto zilizopo kwenye maeneo hayo.

.