Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
RAI YATOLEWA KWA WAFUGAJI KWA VIZIMBA KUSHIKWA MKONO ZAIDI
March 21, 2025Serikali imetoa wito kwa wawekezaji na watoa huduma mbalimbali zikiwemo taasisi za kifedha kuuangana na serikali pamoja na sekta binafsi ili kuwezesha wawekezaji wa ufugaji samaki kwa njia ya vizimba waendelee kufanya vizuri zaidi.
-
KIWANDA CHATAKIWA KUANZA UZALISHAJI, KUFUATIA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI
March 21, 2025Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Edwin Mhede ameutaka uongozi wa kiwanda cha kuchakata mazao ya uvuvi cha LIFA Products ltd, kilichopo Manispaa ya Musoma mkoani Mara kuhakikisha kiwanda hicho kinaanza uzalishaji hivi karibuni.
-
JENGO LA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI NI LA MFANO-KAMATI YA BUNGE
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepongeza hatua ya ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Mifugo na Uvuvi unaoendelea kwenye eneo la Mtumba jijini Dodoma ambapo imetaja jengo hilo kuwa la mfano ukilinganisha na mengine.
-
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI FEDHA ZA UJENZI WA GHALA LA MALISHO MPWAPWA.
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa usimamizi mzuri wa fedha takribani Shilingi Milioni 219.7 zilizotumika kwenye ujenzi wa Ghala la kuhifadhia malisho ya Mifugo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.