Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MKANDARASI BWAWA LA CHAMAKWEZA ATAKIWA KUKAMILISHA MRADI KWA WAKATI NA KUZINGATIA UBORA
April 20, 2021Serikali imemtaka mkandarasi anayejenga bwawa la Kijiji cha Chamakweza kilichopo Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani, kukamilisha bwawa hilo kwa wakati pamoja na kuzingatia ubora ili liweze kuwa na tija kwa jamii ya wafugaji.
-
KAMPUNI YA ISRAEL YAANZA MAZUNGUMZO YA AWALI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MIFUGO NCHINI
April 19, 2021Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel amekutana na kufanya mazungumzo ya awali na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Smart Holding ya nchini Israel Bw. Avi Postelnik yenye lengo la kuwekeza hapa nchini kupitia sekta mbalimbali zikiwemo za mifugo na uvuvi.
-
PROF. GABRIEL AAGIZA UZALISHAJI WA CHANJO YA UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO MWAKANI!
April 19, 2021Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel ameagiza upatikanaji wa chanjo ya mifugo ya ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) ifikapo mwakani ili bidhaa zitokanazo na mifugo ziweze kuuzwa katika masoko ya kimataifa.
-
TUTAENDELEA KUBORESHA SERA NA SHERIA YA UVUVI-ULEGA
April 19, 2021Serikali imesema ipo tayari kuendelea kupitia Sera na Sheria ya Uvuvi nchini ili iweze kukidhi mahitaji ya wavuvi wadogo kama ambavyo imekuwa ikifanya hivyo mara kwa mara pale inapohitajika.