Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
JENGO LA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI NI LA MFANO-KAMATI YA BUNGE
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepongeza hatua ya ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Mifugo na Uvuvi unaoendelea kwenye eneo la Mtumba jijini Dodoma ambapo imetaja jengo hilo kuwa la mfano ukilinganisha na mengine.
-
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI FEDHA ZA UJENZI WA GHALA LA MALISHO MPWAPWA.
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa usimamizi mzuri wa fedha takribani Shilingi Milioni 219.7 zilizotumika kwenye ujenzi wa Ghala la kuhifadhia malisho ya Mifugo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.
-
KAMATI YAKOSHWA NA VIWANGO VYA UJENZI MWALO WA "CHATO BEACH"
March 21, 2025Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepongeza viwango vya ubora wa ujenzi wa mwalo wa Chato Beach uliopo Wilaya ya Chato mkoani Geita ambao umefikia asilimia 91 hadi kukamilika kwake.
-
ZIWA IKIMBA KUVUNA TANI 13 ZA SAMAKI BAADA YA MIEZI 6
March 13, 2025Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa zoezi la upandaji vifaranga vya samaki Mil.1.5 kwenye Ziwa Ikimba lililopo mkoani Kagera litaongeza mavuno ya samaki kwa mwaka kwenye ziwa hilo kutoka Tani 1 inayovunwa hivi sasa hadi tani 13 baada ya miezi 6.