Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WADAU WA KUKU WATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UZALISHAJI, MLAJI KUNUFAIKA
May 24, 2022Wadau wa tasnia ya kuku nchini wametakiwa kutafakari namna ya kupunguza gharama za uzalishaji ili mnufaika wa mwisho ambaye ni mlaji aweze kununua kuku kwa bei nafuu
-
UJERUMANI NA TANZANIA KULINDA HIFADHI ZA BAHARI YA HINDI
May 24, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Dkt. Rashid Tamatamah amekutana na ujumbe kutoka Ubalozi wa Ujerumani hapa nchini na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) ...
-
RASILIMALI ZA UVUVI BAHARI KUU KULINDWA KISAYANSI
May 24, 2022Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, anayeshughulikia uvuvi, Dkt. Rashid Tamatamah amekutana na Mshauri Mwandamizi wa Kampuni ya CS-Group kutoka Paris, Ufaransa, Bw. Hakim Kachetel kuona namna serikali inaweza kushirikiana na kampuni hiyo katika kulinda rasilimali za uvuvi katika ukanda wa bahari kuu hapa nchini.
-
TANZANIA NA OMAN KUFANYA UTAFITI WA SAMAKI BAHARI YA HINDI
May 13, 2022Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imetia saini hati ya makubaliano na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman (OIA) ili kufanya utafiti utakaosaidia kutathimini kiwango cha samaki kinachoweza kupatikana kwenye Ukanda wa Bahari ya Hindi hivyo kusaidia ongezeko la wawekezaji katika Sekta ya Uvuvi.