Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA WAKATI WA USAFIRISHAJI WA MIFUGO
April 18, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amewataka wafugaji kuzingatia sheria wakati wa usafirishaji wa mifugo kutoka wilaya moja kwenda nyingine.
-
MWAMBA DARASA UMEONGEZA UZALISHAJI WA PWEZA-SILINDE
April 17, 2023Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa mpango wa mwamba darasa uzalishaji wa Pweza umeongezeka ambapo mwaka 2017 uzalishaji eneo la Songosongo ulikuwa ........
-
ULEGA: VITUO ATAMIZI FURSA YA AJIRA KWA VIJANA
April 17, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema wizara yake imeanzisha vituo atamizi vya kuwafundisha vijana ufugaji wa kisasa wa mifugo na samaki lengo likiwa ni kujibu changamoto ya ajira kwa vijana iliyopo hapa nchini.
-
CHINA YATOA VIFAA VYA UTAFITI KUKUZA SEKTA YA UVUVI NCHINI
April 14, 2023Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imetoa msaada wa vifaa vya utafiti wa maji baridi katika maziwa makuu kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wenye thamani ya dola za kimarekani 200,000 sawa na Shilingi za kitanzania Milioni 460 ili kukuza Sekta ya Uvuvi nchini.