Dira na Dhima-Mifugo
Dira na Dhima-Mifugo
Dira
Kuwa na sekta ya mifugo iliyo shindani na inayochangia maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii na kimazingira.
Dhima
Kuwezesha ukuaji wa sekta ya mifugo kuwa ya kibiashara na ya kisasa kupitia uandaaji na utekelezaji wa sera, mikakati, miongozo, usimamizi wa sheria, ufuatiliaji na tathmini, kujenga uwezo, weledi na ushirikishaji wa wadau.