Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    15
    Oct
    2024

    MWASA AHAMASISHA ULAJI WA DAGAA, SAMAKI KAGERA

    Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Hajjat Fatma Mwasa ametumia jukwaa la mashindano ya kupiga makasia yaliyofanyika leo Oktoba 15, 2024 mkoani Kagera kusisitiza matumizi ya mazao ya dagaa na samaki kwa wananchi wa mkoa huo. Soma zaidi

  • news title here
    13
    Oct
    2024

    ​SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI ZAPAA MKOANI KAGERA

    Sekta za Mifugo na Uvuvi zimeonekana kufanya vizuri ukilinganisha na sekta nyingine mkoani Kagera kutokana na ongezeko la kila mwaka kwenye uzalishaji wa mazao ya sekta hizo. Soma zaidi

  • news title here
    21
    Sep
    2024

    PWANI YAHIMIZWA KUTUNZA RASILIMALI ILI KUONGEZA UZALISHAJI SEKTA YA UVUVI

    Mkoa wa Pwani umehimizwa kutunza rasilimali za mito, maziwa na bahari ili kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao mengine yaliyopo katika Bahari ya Hindi. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi