Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
16
Oct
2024SILINDE ANENA MAKUBWA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA KWENYE SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde ameweka wazi kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upande wa sekta za Mifugo na Uvuvi. Soma zaidi
-
15
Oct
2024MWASA AHAMASISHA ULAJI WA DAGAA, SAMAKI KAGERA
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Hajjat Fatma Mwasa ametumia jukwaa la mashindano ya kupiga makasia yaliyofanyika leo Oktoba 15, 2024 mkoani Kagera kusisitiza matumizi ya mazao ya dagaa na samaki kwa wananchi wa mkoa huo. Soma zaidi
-
13
Oct
2024SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI ZAPAA MKOANI KAGERA
Sekta za Mifugo na Uvuvi zimeonekana kufanya vizuri ukilinganisha na sekta nyingine mkoani Kagera kutokana na ongezeko la kila mwaka kwenye uzalishaji wa mazao ya sekta hizo. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi