Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
19
May
2023TUTAJENGA VITUO ATAMIZI NCHI NZIMA-SILINDE
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde amesema kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi itaweka programu ya atamizi katika mikoa yote nchini kwa mwaka ujao wa fedha. Soma zaidi
-
19
May
2023UIMARISHWAJI WA TVLA UNAENDA KUSAIDIA KUIMARIKA KWA MIFUGO NCHINI KUWEZA KUPATA MASOKO NJE YA NCHI-PROF.SHEMDOE
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara kutembelea Maabara za Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kufahamu na kujionea kazi ambazo zinafanywa na Wakala hiyo. Soma zaidi
-
19
May
2023SERIKALI YAJA NA MPANGO ENDELEVU WA UNYWAJI MAZIWA SHULENI
Serikali iko kwenye mkakati wa kukamilisha mpango kazi wa unywaji maziwa shuleni, ili kuhakikisha wanafunzi wanakunywa maziwa ili kuimarisha afya zao. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi