Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    24
    Mar
    2023

    ​BENKI YA DUNIA KUENDELEA KUWAINUA WAFUGAJI, WAVUVI NCHINI

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete na kujadiliana namna wanavyoweza kuendelea kushirikiana katika kuimarisha Sekta ya Mifugo na Uvuvi hapa nchini. Soma zaidi

  • news title here
    23
    Mar
    2023

    ​SEKTA BINAFSI YASHIRIKI ZAIDI UCHUMI WA TAIFA KWA UFUGAJI WA KUKU

    Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaelezwa kuchangia kwa kiasi kikubwa sekta binafsi kushiriki katika mnyororo wa ukuzaji uchumi wa taifa ambapo takriban kaya milioni nne zinajihusisha moja kwa moja na ufugaji wa kuku. Soma zaidi

  • news title here
    23
    Mar
    2023

    ​SERIKALI KUKOPESHA WANAWAKE SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI

    Serikali kupitia Benki ya Uwekezaji ya Umoja wa Ulaya (EIB) inatarajia kutoa mkopo wa Sh1.3 trilioni kusaidia wanawake kuboresha biashara na uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani katika sekta za mifugo na uvuvi. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi