Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    14
    Sep
    2023

    ​RAIS, DKT. SAMIA KUWEKA HISTORIA UZINDUZI UJENZI WA BANDARI KILWA

    Septemba 19, 2023, ni siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuandika historia mpya katika sekta ya uvuvi kwa kuzindua ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko ambayo haijawahi kuwepo tangu nchi ya Tanzania ipate uhuru. Soma zaidi

  • news title here
    14
    Sep
    2023

    ULEGA AALIKA WAWEKEZAJI KUUNGA MKONO BBT

    ​Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewaomba Wadau na Wawekezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuwekeza katika programu ya BBT ili kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuinua wanawake na vijana kupitia sekta za mifugo na uvuvi. Soma zaidi

  • news title here
    14
    Sep
    2023

    ULEGA: MAONO YA RAIS DKT, SAMIA KUIFANYA MSOMERA KUWA KIJIJI CHA MFANO YATATIMIA

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema serikali ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kukifanya Kijiji cha msomera kuwa cha mfano kwa ufugaji na ndio maana imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kujenga na kuboresha miundombinu ili wafugaji waweze kufanya ufugaji wenye tija zaidi. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi