Karibu
Welcome to the Ministry of Livestock and Fisheries, the ministry has mandate of overall management and development of livestock, and Fisheries resources for sustainable achievement of Millennium Development Goals, National strategy for growth and reductio Soma zaidi
-
24
May
2022KAMBAMITI KUPEWA KIPAUMBELE KATIKA KUKUZA SEKTA YA UVUVI - DKT. TAMATAMAH
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah amesema Rasilimali ya samaki aina ya kambamiti ni muhimu katika kutoa ajira, kipato, chakula na lishe, na kuliingizia Taifa fedha za kigeni. Soma zaidi
-
24
May
2022NDAKI AZINDUA ZOEZI LA UUZAJI MADUME BORA YA NG'OMBE NCHINI
Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) imezindua zoezi la uuzaji wa madume bora ya ng'ombe aina ya Borani ili kuwawezesha Wafugaji nchini kuboresha mifugo yao ili iwe na tija zaidi kuliko hivi sasa ambapo wengi wana makundi makubwa ya ng'ombe huku tija yake ikiwa ni ndogo. Soma zaidi
-
24
May
2022MIRADI YA MAENDELEO MKURANGA IPO KATIKA HATUA NZURI-NZUNDA
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na uvuvi (Mifugo) Bw.Tixon Nzunda jana tarehe 20 Mei 2022 alifanya ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Sekta ya Mifugo) Mkoani Pwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga. Soma zaidi
-
13
Aug
2018 -
22
Jan
2018
