Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
14
Sep
2023RAIS, DKT. SAMIA KUWEKA HISTORIA UZINDUZI UJENZI WA BANDARI KILWA
Septemba 19, 2023, ni siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuandika historia mpya katika sekta ya uvuvi kwa kuzindua ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko ambayo haijawahi kuwepo tangu nchi ya Tanzania ipate uhuru. Soma zaidi
-
14
Sep
2023ULEGA AALIKA WAWEKEZAJI KUUNGA MKONO BBT
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewaomba Wadau na Wawekezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuwekeza katika programu ya BBT ili kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuinua wanawake na vijana kupitia sekta za mifugo na uvuvi. Soma zaidi
-
14
Sep
2023ULEGA: MAONO YA RAIS DKT, SAMIA KUIFANYA MSOMERA KUWA KIJIJI CHA MFANO YATATIMIA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema serikali ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kukifanya Kijiji cha msomera kuwa cha mfano kwa ufugaji na ndio maana imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kujenga na kuboresha miundombinu ili wafugaji waweze kufanya ufugaji wenye tija zaidi. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi