Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
03
Feb
2023SERIKALI YATUMIA ZAIDI YA SHS. BIL. 5 KUJENGA MAJOSHO
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023 Serikali imeshapeleka katika Halmashauri 80 jumla kiasi cha shilingi bilioni 5.4 kwa ajili kukamilisha ujenzi wa majosho. Soma zaidi
-
31
Jan
2023ENEO LA KITARAKA KUTUMIKA KIMKAKATI KUZALISHA MIFUGO KIBIASHARA
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb) amesema kuwa Serikali imedhamiria kulitumia eneo la kupumzishia mifugo la Kitaraka lililopo wilayani Manyoni, Singida Soma zaidi
-
31
Jan
2023WAFUGAJI WANAOHAMA BONDE LA MTO KILOMBERO WASIZUIWE-NDAKI
◼️ Awashangaa watendaji wanaowawekea vikwazo Soma zaidi
-
13
Aug
2018 -
22
Jan
2018