Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    27
    Nov
    2023

    ​ULEGA AFUNGUA TAMASHA LA UTALII CHATO, ATAJA FURSA KEMKEM ZA UWEKEZAJI

    ​Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amefungua Tamasha la Utalii "Chato Utalii Festival 2023" linalofanyika wilayani Chato, mkoani Geita kwa lengo la kuhamasisha shughuli za utalii na kutangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo mkoani humo. Soma zaidi

  • news title here
    27
    Nov
    2023

    ​KIWANDA KIKUBWA CHA KUCHAKATA SAMAKI KUJENGWA NCHINI

    ​Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kufuatia sera nzuri za kuvutia uwekezaji za Serikali ya Mhe. Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan zimeifanya Kampuni ya Albacora kutoka nchini Hispania kuja hapa nchini kujenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha kuchaka samaki. Soma zaidi

  • news title here
    27
    Nov
    2023

    PROF. SHEMDOE: MAAFISA UGANI NDIO INJINI YA NCHI KUWA KAPU LA CHAKULA BARANI AFRIKA

    Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amewataka Maafisa Ugani kutumia taaluma zao vizuri ili kusaidia kutimiza malengo ya Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi