Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

ZIARA YA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI NA NAIBU WAKE

17 December, 2025 - 01 October, 2026
07:00:00 - 17:03:00
Singida,Manyara,Zanzibar,Lindi,Kanda ya Ziwa
Kumbuka Ndata, 0715488243

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt.Bashiru Ally Kakurwa na Naibu wake Mhe. Ng'wasi Kamani wanatarajia kufanya ziara ya kikazi katika mikoa ya Singida, Manyara, Lindi, Kanda ya Ziwa na Visiwani Zanzibar.

ZIARA YA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI NA NAIBU WAKE
Mrejesho, Malalamiko au Wazo