Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
NCHI 28 ZA AFRIKA KUJADILI MAPAMBANO DHIDI YA MADAWA NA CHANJO FEKI KWA MIFUGO.
March 06, 2025Nchi 28 zimekutana katika mkutano wa kimataifa wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH) kwa ukanda wa Afrika, lengo likiwa ni kujadili na kuweka mikakati ya kudhibiti madawa na chanjo feki kwa mifugo
-
DKT. KIJAJI AFANYA ZIARA USHELISHELI
March 06, 2025Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji tarehe 1 Machi, 2025 amefanya ziara katika Bandari ya Uvuvi ya Ushelisheli ambayo ni kubwa zaidi katika Ukanda wa Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi.
-
RAIS DKT. SAMIA AKABIDHI BOTI ZA KISASA ZA UVUVI
March 06, 2025Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 26, 2025 amekabidhi boti 35 za kisasa kwa wavuvi wa Mkoa wa Tanga, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya pili ya mradi wa ukopeshaji wa boti kwa wavuvi nchini.
-
UTAMBUZI WA MIFUGO SASA NI BURE-DKT. KIJAJI.
February 24, 2025Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa zoezi la Utambuzi wa wanyama sasa litafanyika bila gharama yoyote kutoka kwa wafugaji baada ya Serikali kuamua kugharamia zoezi hilo.