Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
RASILIMALI ZA UVUVI BAHARI KUU KULINDWA KISAYANSI
May 12, 2022Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, anayeshughulikia uvuvi, Dkt. Rashid Tamatamah amekutana na Mshauri Mwandamizi wa Kampuni ya CS-Group kutoka Paris, Ufaransa, Bw. Hakim Kachetel kuona namna serikali inaweza kushirikiana na kampuni hiyo katika kulinda rasilimali za uvuvi katika ukanda wa bahari kuu hapa nchini.
-
NDAKI AKUTANA NA WAFANYABIASHARA YA MIFUGO
May 12, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amekutana na Umoja wa Wafanyabiashara ya Mifugo na Mazao yake Temeke (UWAMIMATE) kwa lengo la kusikiliza kero na changamoto wanazokabiliana nazo Wafanyabiashara hao katika shughuli zao za kila siku.
-
TAASISI NA WIZARA ZATAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UTAPIAMLO
May 12, 2022Wizara na Taasisi zinazohusiana na masuala ya lishe nchini zimetakiwa kushirikiana na kubadilishana uzoefu katika mapambano dhidi ya Utapiamlo kuhakikisha jamii na Taifa linakuwa salama.
-
SERIKALI KUKUZA SOKO LA MAZIWA NCHINI - NDAKI
May 12, 2022Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amesema Serikali imeendelea na mkakati wa kukuza Soko la maziwa Nchini kwa kuimarisha na kuendeleza programu ya unywaji wa maziwa shuleni.