Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MHINTE AWATAKA WAFUGAJI KUTOFICHA MIFUGO WAKATI WA UCHANJAJI
December 20, 2024Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Ndg. Abdul Mhinte amewataka Viongozi Wa vyama vya wafugaji kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa zitakazotekeleza zoezi la Chanjo ya Mifugo kuhakikisha wafugaji hawafichi mifugo wakati wa uchanjaji
-
MPANGO WA MIAKA MITANO CHANJO ZA MIFUGO KUANZA JANUARI 2025
December 20, 2024Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi itaanza Mpango wa Utoaji wa Chanjo na utambuzi wa Mifugo Kitaifa kuanzia Mwezi Januari 2025 ambapo Shilingi Bilioni 28.1 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mpango huo
-
DKT. KIJAJI AIAGIZA NARCO KUZALISHA MBEGU ZA MIFUGO, MALISHO KWA WINGI
December 20, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ameiagiza Kampuni ya Ranchi za Taifa NARCO iliyopo Kongwa Jijini Dodoma Kuongeza wigo wa Uzalishaji wa Mbegu Bora za Mifugo na Malisho itakayoongeza upatikanaji wa Nyama nchini na Kukuza uchumi wa Wafugaji.
-
DKT. KIJAJI KUENDELEZA ALIPOISHIA ULEGA KUKUZA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
December 20, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema katika kuendeleza na kukuza sekta za Mifugo na Uvuvi ataanzia pale alipoishia mtangulizi wake Mhe. Abdallah Ulega ili kuendelea kuzifanya sekta hizo kuwa na mchango mkubwa zaidi kwenye pato la taifa.