Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
NI LAZIMA TULINDE RASILIMALI ZETU ZA UVUVI KWA WIVU MKUBWA- DKT. KIJAJI
December 23, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), ametoa wito kwa Watanzania, hususan wale wanaojihusisha na shughuli za uvuvi kulinda rasilimali hizo za asili ili kuwahakikishia wananchi kukuza uchumi wao kwa misingi endelevu na kuwahakikishia upatikanaji wa malighafi (samaki).
-
DKT. MHEDE APONGEZA HIYARI YA UPUMZISHAJI ZIWA IKIMBA
December 22, 2024Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Edwin Mhede amewapongeza wavuvi wanaofanya shughuli zao kwenye Ziwa Ikimba kwa uamuzi wao wa kufunga shughuli za Uvuvi wa ziwa hilo kwa hiyari.
-
DKT. MHEDE ANADI UFUGAJI SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA
December 21, 2024Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Edwin Mhede ameendelea kuhamasisha ufugaji wa samaki kwa njia ya Vizimba kwa wanachi wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza.
-
DKT. KIJAJI AWACHARUKIA WAZALISHAJI, WAUZAJI NYENZO ZA UVUVI HARAMU.
December 20, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ameagiza kufungwa kwa viwanda na maduka yote yanayojihusisha na Nyavu zisizofaa kwenye shughuli za Uvuvi ikiwa ni hatua ya kukomesha Uvuvi haramu nchini.