Dira na Dhima (Mifugo)

Dira

Kuwa na sekta ya mifugo iliyo shindani na inayochangia maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii na kimazingira.

Dhima

Kuwezesha ukuaji wa sekta ya mifugo kuwa ya kibiashara na ya kisasa kupitia uandaaji na utekelezaji wa sera, mikakati, miongozo, usimamizi wa sheria, ufuatiliaji na tathmini, kujenga uwezo, weledi na ushirikishaji wa wadau.

.