Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
BBT-LIFE SASA NI ZAMU YA TASNIA YA KUKU
December 08, 2023Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe ameagiza kuanzishwa kwa programu ya “Jenga kesho iliyo njema” (BBT) kwa upande wa Tasnia ya kuku ili kuongeza wigo wa ongezeko la ajira kwa wanawake na vijana kote nchini.
-
WANAWAKE WAHIMIZWA KUJIUNGA KATIKA VIKUNDI
December 05, 2023Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe amewahimiza Wanawake wanaojihusisha na Uvuvi Mdogo wajiunge katika vikundi kwa lengo la kupata fursa ya kukopeshwa vifaa vya kisasa ikiwemo maboti ili wawe na uwezo wa kwenda kuvua samaki katika maji mengi.
-
WAZIRI ULEGA AKUTANA NA MKURUGENZI WA WORLDFISH
December 05, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa WorldFish, Dkt. Essam Yassin Mohammed pembezoni mwa Mkutano wa COP 28, Dubai, UAE
-
ULEGA ASHIRIKI MKUTANO WA WIZARA ZA KISEKTA NA AFDB
December 04, 2023Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ameshiriki Mkutano wa Wadau, Viongozi na Wizara za kisekta na AFDB wa pamoja wa upili (Bilateral Meeting) kujadili mpango wa upatikanaji wa fedha za Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Songwe kwa kushirikiana kati ya Tanzania na Malawi.