Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
RAIS SAMIA AIPA HEKO WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI, ARIDHISHWA NA KASI YA UTENDAJI
January 31, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali imedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika Sekta ya Uvuvi, hivyo imeamua kutoa kipaumbele katika kukuza sekta hiyo kwa kuimarisha utendaji kazi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
-
MARUFUKU KUCHOMA MOTO MITUMBWI YA WAVUVI- ULEGA
January 24, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ametoa maelekezo kwa Maafisa wanaosimamia ulinzi wa rasilimali za uvuvi kuacha kuchoma moto mitumbwi ya wavuvi iliyokamatwa kwa tuhuma za kutumika katika uvuvi haramu.
-
ULEGA ATOA ONYO KALI KWA WAVUVI HARAMU
January 24, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewatahadharisha wale wote wanaojihusisha na uvuvi haramu kuacha vitendo hivyo mara moja huku akisema kuwa atakayekamatwa Serikali itachukua hatua kali dhidi yake.
-
ULEGA: TANGAZENI VITALU KWA AJILI YA UWEKEZAJI
January 22, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewaagiza Naibu Katibu Mkuu, Sekta ya Mifugo, Prof. Daniel Mushi na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha kuwa maeneo yote yaliyopo katika Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) mkoani Kagera ambayo hayana mgogoro yatangazwe kwa ajili ya uwekezaji.