Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
TANZANIA YAKABIDHIWA BOTI KUDHIBITI UVUVI HARAMU
March 05, 2024Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhiwa boti mbili kutoka Taasisi ya Uvuvi ya Ziwa Victoria (LVFO) ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa ajili ya kufanya doria na kudhibiti uvuvi haramu ndani ya Ziwa Victoria.
-
WAFUGAJI MSOMERA WAZURU LITA, TALIRI TANGA
February 29, 2024Wafugaji kutoka kijiji cha Msomera kilichopo Handeni mkoani Tanga leo februari 28, 2024 wametembea taasisi za Wakala ya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) kampasi ya Buhuri mkoani humo na ile ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) kanda ya Mashariki.
-
SERIKALI YAZINDUA BBT-LIFE (UVUVI) AWAMU YA PILI.
February 23, 2024Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu imezindua awamu ya pili ya program ya Jenga kesho iliyo bora kwa wanawake na vijana kwa upande wa sekta ya Uvuvi maarufu kama “BBT-LIFE”
-
BBT-LIFE (UVUVI) AWAMU YA PILI YANG'OA NANGA
February 21, 2024Serikali kupitia wizara ya Mifugo na uvuvi imeanza kutekeleza programu ya "Jenga kesho iliyo bora kwa wajasiriamali wanawake na vijana upande wa sekta ya Uvuvi kupitia mafunzo yanayotolewa kwa vijana na wanawake 300 kutoka pande mbalimbali za nchi yaliyoanza kutolewa februari 19, 2024.