Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
SIJARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI - DKT. TAMATAMAH.
July 21, 2020Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Jeongo la Utawala la Ofisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) unaoendelea katika Kisiwa cha Mafia.
-
NAMBARI ZA MITIHANI KWA WATAHINIWA WANAOTARAJIA KUFANYA MITIHANI
July 21, 2020NAMBARI ZA MITIHANI KWA WATAHINIWA WANAOTARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUJIANDIKISHA NA BARAZA LA VETERINARI KAMA WATAALAM WASAIDIZI UTAKAOFANYIKA JULAI 28-29, 2020.
-
WADAU WAFANYA TATHMINI HALI YA TASNIA YA NGOZI
July 15, 2020Wadau wa Mfuko wa maendeleo ya Mifugo (LDF) wakutana kujadili hatma ya tasnia ya ngozi hasa baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona.
-
CHATO KUWA NA KITUO KIKUBWA ZAIDI CHA UZALISHAJI VIUMBE MAJI TANZANIA
July 09, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia sekta ya Uvuvi imeikabidhi kampuni ya ukandarasi ya Serikali ya Corporation Sol eneo na mkataba wa Ujenzi wa Kituo kikubwa cha Ukuzaji wa Viumbe Maji ili kazi hiyo ianze mara moja.