Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
BANDARI YA UVUVI KILWA KUTOA AJIRA ELFU 30
July 30, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema mpaka sasa mradi wa ujenzi wa bandari ya uvuvi ya Kilwa Masoko imeshatoa ajira kwa vijana wapatao 570 ambao wanafanyakazi hapo huku akiongeza kuwa utakapo kamilika utatoa ajira elfu 30 katika nyanja mbalimbali.
-
SERIKALI KUBORESHA MINADA NCHINI
July 14, 2024Wizara ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imejipanga kuboresha miundombinu ya Minada iliyopo nchini ili iweze kukidhi mahitaji ya watumiaji hasa katika sehemu za uzio, vyoo, maji, taa pamoja na mifumo ya malipo.
-
ULEGA ASHIRIKI KILELE CHA MKUTANO WA UVUVI MDOGO JIJINI ROMA, ITALIA
July 08, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega yupo nchini Italia kushiriki kilele cha Mkutano wa Uvuvi Mdogo Duniani.
-
ULEGA-HUU NI MWAKA WA MATOKEO
July 04, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ameitaka menejimenti ya wizara kuhakikisha katika mwaka wa fedha 2024/25 kila mmoja katika nafasi yake anawajibika ipasavyo ili utekelezaji wa miradi uwe na matokeo ya kupigiwa mfano.