Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
MWONGOZO MPYA KUWASAIDIA WAVUVI MAJI MADOGO NA MAENEO OEVU
July 04, 2024Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Uvuvi kwenye Maji madogo ikiwa ni njia mojawapo ya kuweka usimamizi mathubuti kulingana na changamoto zilizopo kwenye maeneo hayo.
-
NCHI 30 ZAKUTANA DSM KUMJADILI KASA
July 04, 2024Wadau kutoka nchi mbalimbali takriban 30 zilizo kando ya Bahari ya Hindi ambazo zimesaini makubaliano ya uhifadhi wa Kasa wa baharini wamekutana kujadili na kupima hatua waliyofikia ya kuwalinda kasa hao tangu wasaini makubaliano.
-
ULEGA AZINDUA TAARIFA YA 21 YA HALI YA UCHUMI (SEKTA YA MIFUGO) NCHINI
July 04, 2024Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amezindua taarifa ya 21 ya hali ya uchumi wa Tanzania iliyoandaliwa na Benki ya Dunia ambayo awamu hii imeangazia eneo mahususi la sekta ya mifugo.
-
ELIMU KUTOLEWA KWA WANUFAIKA WA BOTI KANDA YA ZIWA VICTORIA
July 04, 2024Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza mchakato wa kutoa elimu kwa wanufaika wa Boti kanda ya ziwa Viktoria mkoani Mwanza na kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakumba wanufaika hao, ikiwa ni njia mojawapo ya kuwasikiliza na kushughulikia changamoto zao na kutoa elimu za utumiaji Boti 55 hizo zilizotolewa na Serikali