Albamu ya Video

  • Prof. Ole Gabriel amuaga Dkt. Nandonde

    Prof. Ole Gabriel amuaga Dkt. Nandonde

    September 08, 2020

    Ulikuwa unafahamu kuwa Dkt Nandonde alikuwa Mwanafunzi wa Prof. Ole Gabriel wakati akichukua shahada yake ya kwanza? Msikilize hapa Prof. Ole Gabriel akielezea hilo.

  • DKT NANDONDE AKIWAAGA WATUMISHI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

    DKT NANDONDE AKIWAAGA WATUMISHI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

    September 08, 2020

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Masoko na Uzalishaji Dkt. Felix Nandonde amewaaga Viongozi, Watendaji na watumishi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo...

  • Neno la Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Selemani Mzee baada ya kutembelea wizara ya Mifugo na Uvuvi.

    Neno la Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Selemani Mzee baada ya kutembelea wizara ya Mifugo na Uvuvi.

    September 08, 2020

    Tazama aliyoyasema Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Selemani Mzee baada ya kutembelea mabanda ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika Maonesho ya Nanenane kwenye viwanja vya Ngongo - Manispaa ya Lindi. (05.08.2020)

  • Tazama wataalam wa Mifugo na Uvuvi na Wadau wakizungumzia maendeleo ya sekta hizo. (07.08.2020)

    Tazama wataalam wa Mifugo na Uvuvi na Wadau wakizungumzia maendeleo ya sekta hizo. (07.08.2020)

    September 08, 2020

    Tazama makala fupi ya wataalam wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Wadau waliofika katika mabada ya Wizara wakizungumzia masuala ya maendeleo ya sekta ya mifugo na sekta ya Uvuvi wakati wa Maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya Ngongo - Manispaa ya Lindi. (07.08.2020)

  • Tazama wataalam wa Mifugo na Uvuvi na Wadau wakizungumzia maendeleo ya sekta hizo. (07.08.2020)

    Tazama wataalam wa Mifugo na Uvuvi na Wadau wakizungumzia maendeleo ya sekta hizo. (07.08.2020)

    September 08, 2020

    Tazama makala fupi ya wataalam wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Wadau waliofika katika mabada ya Wizara wakizungumzia masuala ya maendeleo ya sekta ya mifugo na sekta ya Uvuvi wakati wa Maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya Ngongo - Manispaa ya Lindi. (07.08.2020)

.