Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
ANGALIA HAPA MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI HASUNGA WAKIJIVUNIA MAFANIKIO YA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI
September 08, 2020Ni kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 28 ya Kilimo (NANENANE) uliofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu
-
MATUKIO YALIYOJIRI MWEZI JULAI, 2020
September 08, 2020Tazama hapa muhtasari wa matukio yaliyojiri ndani ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kipindi cha Mwezi Julai, 2020
-
YALIYOIBULIWA NA NARCO HUKO KILIMANJARO!
July 23, 2020Tazama hapa uone masuala yaliyoibuliwa na NARCO huko Kilimanjaro
-
PROF. GABRIEL ASISITIZA TAFITI ZAIDI ZENYE TIJA KWA WAFUGAJI.
July 23, 2020Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel amesisitiza kufanyika tafiti zaidi zenye tija kwa wafugaji mara baada ya kutembelea shamba la malisho la Bw. Mnyonaki Saileni lililopo kijiji cha Msujile Kata ya Sejeli Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma.
-
Tathmini ya wadau kuhusu tasnia ya ngozi
July 15, 2020Wadau wa Mfuko wa maendeleo ya Mifugo (LDF) walikutana leo (14.07.2020) katika ofisi ndogo za Wizara ya Mifugo na Uvuvi zilizopo jengo la NBC jijini Dodoma lengo likiwa ni kujadili hatma ya tasnia ya ngozi hasa baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona.