Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
Naibu Waziri Wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ahamasisha wananchi kunywa maziwa.
June 09, 2020Naibu Waziri Wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega ahamasisha wananchi kunywa maziwa.
-
The Ministry of Livestock and Fisheries Assures Strategic Collaboration with BMGF
March 01, 2019The Ministry of Livestock and Fisheries Assures Strategic Collaboration with BMGF
-
UWEKEZAJI SEKTA YA MAZIWA WAANZA NA NMB, WAFUGAJI WAPATIWA SOMO!
March 01, 2019Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel azungumza na mwandishi wa habari wa Gazeti la Mwananchi, kuhusu mkutano mkubwa wa wadau wa sekta ya maziwa unaofanyika (25 na 26.02.2019)
-
KATIBU MKUU MIFUGO ATOA NENO KWA MKUU WA SUMA JKT!
March 01, 2019Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA JKT Kanali Rajabu Mabele wakati akikagua ujenzi wa jengo la wizara katika mji wa serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma. (27.02.2019)
-
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amewaamuru wamiliki wa Viwanda vitano vya kuchakata minofu ya Samaki vilivyopo Jijini Mwanza kulipa faini ya Shilingi milioni 180 ndani ya saa 24, baada ya kubainika kupokea na kuchakata Samaki wasioruhusiwa kwa muji
January 22, 2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amewaamuru wamiliki wa Viwanda vitano vya kuchakata minofu ya Samaki vilivyopo Jijini Mwanza kulipa faini ya Shilingi milioni 180 ndani ya saa 24, baada ya kubainika kupokea na kuchakata Samaki wasioruhusiwa kwa mujibu wa Sheria ya Uvuvi.