Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
MAKALA: FURSA ZA KIUCHUMI KUPITIA UFUGAJI WA JONGOO BAHARI
May 12, 2022Karibu katika makala maalum inayoandaliwa na wizara ya mifugo na uvuvi ili kukufahamisha majukumu, mafanikio, mikakati na fursa mbalimbali zilizopo kupitia wizara hii na taasisi zilizo chini yake, pamoja na kukuelimisha wewe mwananchi namna unavyoweza kujikwamua kiuchumi kupitia sekta za mifugo na uvuvi. Katika makala hii ya leo tumefika katika Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani, kukitembelea kikundi cha Usimamizi na Ulinzi Shirikishi wa Rasilimali za Uvuvi (BMU) Kaole, kujionea namna kikundi hicho kinajishughulisha na ufugaji wa jongoo bahari ili kujikwamua kiuchumi.
-
ELIMU YA UFUGAJI KIBIASHARA YAWAFUNGUA MACHO WAFUGAJI WILAYANI HANDENI
May 12, 2022Wafugaji wilayani Handeni wakiri kunufaika na elimu waliyoipata kuhusu ufugaji wa mifugo kibiashara, elimu ambayo imetolewa na wataalam kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Sekta ya Mifugo).
-
WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. NDAKI AKABIDHI BOTI ZA DORIA 16, INJINI 12 KWA MAAFISA WAFAWIDHI
May 12, 2022.
-
ELIMIKA: Fahamu kuhusu LITA
May 12, 2022Ikiwa ni Mwendelezo wa segment yetu mpya ya "ELIMIKA" kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Leo pata fursa ya kuelimika kuhusu historia na majukumu ya Wakala ya vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA).
-
ELIMIKA: Namna ya kutengeneza chakula cha samaki..
May 12, 2022Leo katika mwendelezo wa segment yetu mpya ya "ELIMIKA" kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, pata fursa ya kuelimika kuhusu namna ya kutengeneza chakula cha samaki kwa kutumia rasilimali zinazopatikana kwa wingi maeneo mengi na matumizi sahihi ya chakula hicho.