Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Habari
-
WACHUNAJI WATAKIWA MBINU BORA NA VIFAA STAHIKI
April 09, 2021Wachunaji wa ngozi katika machinjio ya Manispaa ya Tabora wametakiwa kutumia mbinu bora na vifaa stahiki wakati wa uchunaji wa ngozi.
-
WIZARA IZALISHE VIFARANGA WA SAMAKI KWA WINGI-RAIS SAMIA.
April 09, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuzalisha kwa wingi vifaranga wa samaki ili watu wengi zaidi waweze kunufaika na fursa ya ufugaji wa samaki ambayo imeonekana kuvutia watu wengi kwa hivi sasa.
-
NDAKI AONGOZA MAPOKEZI YA ULEGA
April 09, 2021Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki leo amewaongoza viongozi, watendaji na watumishi wa Wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri wake Mhe. Abdallah Ulega tukio jioni ya leo(01.04.2021) makao makuu ya Wizara yaliyopo Mtumba jijini Dodoma.
-
UTASHI WA DKT. MAGUFULI CHACHU YA MAENDELEO SEKTA YA UVUVI - DKT. TAMATAMAH
April 02, 2021Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah amesema kuwa utashi wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati, Dkt. John Magufuli wa kuamua kuwekeza katika Sekta ya Uvuvi umechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sekta hiyo.