Waziri Mpina akishuhudia zoezi la utiaji saini baina ya Makampuni mawili NARCO na NECAI

Imewekwa: Tuesday 02, April 2019

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina akishuhudia zoezi la utiaji saini baina ya Makampuni mawili NARCO kutoka Tanzania na NECAI kutoka Misiri kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanda kikubwa kitakacho shughulika na mazao ya mifugo, ambapo Kiwanda hicho kitajengwa Mkoa wa Pwani.

.