WAZIRI MPINA AKAGUA BAADHI YA ZANA ZA MIFUGO KATIKA SHAMBA LA KAFOI - ARUSHA NA KILIMANJARO

Imewekwa: Wednesday 28, March 2018

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Luhaga Joelson Mpina atembelea Wakala wa Mafunzo ya Mifugo (LITA) na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TALIRI) zilizopo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambazo ni Campus ya LITA Tengeru- Arusha,TALIRI na NARCO zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.

.