WAJUMBE WA BARAZA LA VETERINARI TANZANIA

Imewekwa: Monday 22, June 2020

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) kwa Mamlakaaliyonayo chini ya Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Veterinari Na. 16 ya Mwaka 2003 amewateua Wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania. Ili kuwafahamu wajumbe walioteuliwa bofya hapa

.