Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
ULEGA ATEMBELEA TANCHOICE

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akiongeza na Uongozi wa Machinjio ya kisasa ya TANCHOICE alipotembelea Machinjio hayo yaliyopo Wilayani Kibaha, Mkoani Pwani Disemba 13, 2023, ambapo aliwapongezi kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuchagiza biashara ya nyama nje ya nchi.
Alisema mkakati wa Serikali kupitia Wizara yake ni kufungua soko la china ili nyama ya Tanzania iweze kuuzwa huko huku akiwasisitiza kuona namna bora ya wao kumuunga mkono Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia programu yake ya kielelezo ya Jenga Kesho Iliyobora( BBT-LIFE).