Maonesho ya Sabasaba 2018

Imewekwa: Monday 09, July 2018

Siku ya kilele ya maonesho ya 42 ya Sabasaba yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Sabasaba tarehe 07/07/2018, yalifana sana na kuvutia wadau mbalimbali na kutembelea mabanda ya Sekta ya Mifugo na Uvuvi, ili kujionea fursa mbalimbali zilizopo katika Sekta hizo.

.