Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
MHE WAZIRI ASHIRIKI KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI WA SEKTA YA UVUVI NA UFUGAJI VIUMBE KWENYE MAJI - UGANDA.

Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) Waziri wa Mifugo na Uvuvi akiwa Entebe Uganda ambapo ameshiriki kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri wa Sekta ya Uvuvi na ufugaji Viumbe Majini chini ya shirika la usimamizi wa rasimali za Uvuvi la Jumuiya ya Afrika Mashariki ( Lake Victoria Fisheries Organization -LVFO).