KILELE CHA MAADHIMISHO YA NANENANE MKOANI SIMIYU

Imewekwa: Friday 30, August 2019

."Wakulima nendeni mkalime, Wafugaji nendeni mkafuge, Wavuvi nendeni mkavue Serikali iko pamoja nanyi kulinda soko la ndani na Mhe. Waziri Mkuu tumekataa kushindwa, tumeshakataa kukatishwa tamaa na mtu yoyote na hatutashindwa Serikali ya awamu tano ipo kushughulikia changamoto zenu zote” amesema Waziri Mpina.

.