Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Katibu Mkuu Uvuvi Dkt. Rashid Tamatama akagua Mwalo wa Miyobozi, Mkoani Kigoma

Katibu Mkuu-Uvuvi alifanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa kigoma ya kutembelea maeneo mbalimbali yenye shughuli za Uvuvi. Katika maeneo hayo aliembelea Mwalo wa Miyobozi na kukagua miundombinu ya Mwalo huo