Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Je Mtanzania aliyesoma shahada ya tiba ya wanyama nje ya nchi anaweza kusajiliwa na Baraza na kufanyakazi kama daktari wa mifugo hapa nchini?(foreig
Mtanzania aliyesoma nje ya nchi anaweza kusajiliwa baada ya kuwasilisha vyeti vya taaluma na kutakiwa kufanya na kufaulu mtihani wa Baraza.