Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Sifa gani za mtaalam kusajiliwa kama daktari wa mifugo?
Awe ana shahada ya kwanza ya tiba ya mifugo (BVM) kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Baraza kwa ada ya TZSh. 50,000/= na endapo amesomea nje ya nchi atahitajika kwanza kufanya na kufaulu mtihani wa Baraza.