Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
WAZIRI MPINA AKIHUTUBIA MKUTANO WA WAFUGAJI WILAYA YA MEATU - SIMIYU

Waziri mwenye dhamana ya kusimamia Sekta ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akihutubia Mkutano wa Wafugaji Wilaya ya Meatu, Mkoa wa Simiyu nakusema kuwa,“Matatizo ya Wafugaji sasa yamefika mwisho”.