Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
WAZIRI MPINA AKABIDHI DAWA ZA KUOGESHA MIFUGO (PARANEX) SIMIYU
Lengo la kutumia dawa za kuogesha mifugo ni kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali hasa ugonjwa uenezwao na Kupe.
Waziri Mpina amesema, Serikali ya awamu ya tano, imejipanga kuhakikisha changamoto na mateso ya wafugaji yanapigwa marufuku.