Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
UTEUZI WA BODI YA WAKALA YA VYUO VYA MIFUGO TANZANIA
.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Joelson Mpina amemteua Prof. Malongo Richard Mlozi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala ya Vyuo vya Mifugo Tanzania (LITA). Kupata orodha kamili ya wajumbe walioteuliwa bofya hapa