UFUNGUZI WA MSIMU WA NYANGUMI 2026
UFUNGUZI WA MSIMU WA NYANGUMI 2026
02 September, 2026 - 05 September, 2026
08:00:00 - 18:00:00
MTWARA
Halima
Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Taasisi yake ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) inatarajiwa kufanya ufunguzi wa msimu wa Nyangumi utakaofanyika eneo la Msimbati mkoani Mtwara