Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

NANENANE 2026

08 January, 2026 - 08 August, 2026
08:00:00 - 18:00:00
DKT. JOHN SAMWEL MALECELA DODOMA
Sebastian

Wizara ya Mifugo na Uvuvi inashiriki Maonesho ya kitaifa na kimataifa ya NaneNane 2026 yanayofanyika kwenye viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela na kwenye kanda mbalimbali nchini.

NANENANE 2026
Mrejesho, Malalamiko au Wazo