HAFLA YA UZINDUZI WA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU
HAFLA YA UZINDUZI WA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU
25 February, 2026 - 25 April, 2026
08:00:00 - 14:00:00
Kigamboni, DSM
Upendo Hamidu, 0715692824
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua meli ya kwanza ya Uvuvi wa bahari kuu