Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

KAMPENI YA KITAIFA YA CHANJO ZA MIFUGO

15 April, 2025 - 30 April, 2025
06:00:00 - 18:27:00
MPWAPWA
mtamike.omary@gmail.com

Wizara ya Mifugo na Uvuvi inatarajia kufanya kampeni ya kitaifa ya chanjo za Mifugo ambapo wafugaji watapata fursa ya kuchanja na kutambua Mifugo yao.

KAMPENI YA KITAIFA YA CHANJO ZA MIFUGO
Mrejesho, Malalamiko au Wazo