Mhe Waziri akizindua Shirika la Uvuvi Tanzania TAFICO - Kigamboni Jijini Dar es Salaam

Imewekwa: Monday 09, July 2018

Shirika la Uvuvi la Tanzania (Tanzania Fisheries Corporation-TAFICO) lilianzishwa mwaka 1974 kwa Tangazo la Serikali Na. 58 la tarehe 03 Januari 1974 toleo la II chini ya Sheria ya Makampuni ya Umma Na. 17 ya mwaka 1969. Shirika hili lilikuwa na Makao yake Makuu Kigamboni, Dar es Salaam.

.