Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
KIPINDI: MAFANIKIO YA MRADI WA UBORESHAJI MALISHO (SEHEMU YA PILI)
April 05, 2022Baada ya Wiki iliyopita kuwaona na kuwasikilia baadhi ya wafugaji walionufaika na mradi wa Uboreshaji Malisho ya Mifugo kwa kuzingatia utunzaji wa mazingira uliokuwa ukitekelezwa na Shirika la kimataifa la Utafiti la CIAT kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI), leo tuendelee kuangazia maeneo mbalimbali ambayo wafugaji walinufaika nayo pamoja na ahadi zilizotolewa na Serikali kuhusu kuendelezwa kwa utekelezaji wa miradi ya aina hiyo...
-
YALIYOJIRI JANUARI, 2022
March 30, 2022Tazama Yaliyojiri ndani ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwezi Januari, 2022.
-
MSIKILIZE NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI WAKATI AKIKABIDHI DUME BORA KWA WAFUGAJI MKOANI PWANI.
February 09, 2022MSIKILIZE NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI WAKATI AKIKABIDHI DUME BORA KWA WAFUGAJI MKOANI PWANI.
-
KIPINDI: MAFANIKIO YA MRADI WA KUBORESHA MALISHO YA MIFUGO-NYANDA ZA JUU KUSINI
February 09, 2022Shirika la Utafiti la kimataifa la CIAT kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) walitekeleza mradi-utafiti uliokuwa unahusu malisho ya mifugo yaliyoboreshwa yanayozalisha kiasi kidogo cha hewa ya ukaa. Malisho hayo yameonekana kuleta tija kwa wafugaji kupitia ongezeko la kiasi cha maziwa hadi lita 20 kwa ng'ombe mmoja kwa siku...Tafadhali endelea kutazama kipindi hiki ili ufahamu zaidi mafanikio yaliyitokana na mradi huo..
-
KIPINDI: MKUTANO WA WASHAURI WA MIFUGO NA WAKUU WA IDARA ZA MIFUGO NA UVUVI
January 26, 2022Januari 17-18, 2022 kilifanyika kikazi kilichowajumusha washauri wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka mamlaka za Serikali za Mitaa ambapo Mgeni Rasmi alikuwa ni Makamu wa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango... Tazama hapo ili ufahamu yote yaliyojiri wakati wa kikao hicho.