Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
GEKUL AWAAGIZA WAKURUGENZI HALMASHAURI KUTENGA FEDHA ZA MIFUGO.
May 08, 2021Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Pauline Gekul amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri kutenga asilimia 15 ya fedha zinazotokana na mapato yatokanayo na mifugo kwa ajili ya kuendeleza sekta ya mifugo.
-
NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AWATANGAZIA VITA WANAOJIHUSISHA UVUVI HARAMU NA KUKWEPA KULIPA KODI
May 08, 2021Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Pauline Gekul amewatangazia vita wanaojihusisha na uvuvi haramu na kukwepa kodi.
-
SALAMU ZA MWAKA MPYA 2021
May 08, 2021Hizi hapa ni Salamu za Mwaka Mpya 2021 kutoka kwa Mawaziri wa Mifugo na Uvuvi.
-
SALAAM ZA MWAKA MPYA 2021 KUTOKA KWA KATIBU MKUU (UVUVI), DKT. RASHID TAMATAMAH
May 08, 2021Hizi hapa ni Salamu kwa watumishi na wadau wote wa Sekta ya Uvuvi kwa Mwaka Mpya 2021 kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah.
-
SALAMU ZA MWAKA MPYA KUTOKA KWA KATIBU MKUU (MIFUGO), PROF. ELISANTE OLE GABRIEL.
May 08, 2021Hizi hapa ni Salamu kwa watumishi na wadau wote wa Sekta ya Mifugo kwa Mwaka Mpya 2021 kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel.