Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
SERIKALI YAJIPANGA KUDHIBITI UGONJWA WA NDOROBO HAPA NCHINI
March 09, 2023SERIKALI YAJIPANGA KUDHIBITI UGONJWA WA NDOROBO HAPA NCHINI
-
NAIBU WAZIRI ULEGA AKIJIBU MASWALI BUNGENI JIJINI DODOMA KUHUSU UJENZI WA MAJOSHO HAPA NCHINI
March 09, 2023NAIBU WAZIRI ULEGA AKIJIBU MASWALI BUNGENI JIJINI DODOMA KUHUSU UJENZI WA MAJOSHO HAPA NCHINI
-
DORIA ZAPUNGUZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA
March 09, 2023Doria zilizofanyika katika maeneo ya Ukanda wa Ziwa Victoria zimesaidia kupunguza vitendo vya uvuvi haramu, biashara ya samaki wachanga na utoroshaji wa mazao ya uvuvi kwenda nje ya nchi kwa asilimia 80. Hayo yamesemwa leo (06.02.2023) Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Mhe. Dkt. Oscar Kikoyo aliyetaka kujua ni kiwango gani Vikosi Kazi (Task Forces) zimepunguza tatizo la uvuvi haramu katika Ziwa Victoria kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
WAZIRI NDAKI APOKEA NA KUZINDUA MIZANI 82 ZITAKAZOSIMIKWA KATIKA MINADA YA MIFUGO NCHINI
March 09, 2023WAZIRI NDAKI APOKEA NA KUZINDUA MIZANI 82 ZITAKAZOSIMIKWA KATIKA MINADA YA MIFUGO NCHINI, 6.2.2023
-
Ni lazima muondoke Mto Kilombero-Ndaki
March 09, 2023Asisitiza wafugaji wanaoondoka wasizuiwe!