Albamu ya Video

  • KMM BW. TIXON NZUNDA AAGIZA MAMBO SITA KUFANYIKA KWENYE SHAMBA LA MIFUGO SAOHILL IRINGA

    KMM BW. TIXON NZUNDA AAGIZA MAMBO SITA KUFANYIKA KWENYE SHAMBA LA MIFUGO SAOHILL IRINGA

    December 12, 2022

    .

  • Sekta ya Mifugo yawanoa Waelimisha rika wake!

    Sekta ya Mifugo yawanoa Waelimisha rika wake!

    December 12, 2022

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa Sekta ya Mifugo imeendesha warsha ya siku moja kwa ajili ya kuwawezesha Waelimisha rika wake elimu inayohusu Mwongozo wa kudhibiti virusi vya Ukimwi, Ukimwi na magonjwa sugu yasiyoambukizwa mahala pa kazi tukio lililofanyika leo (10.11.2022) Makao makuu ya Wizara hiyo yaliyopo eneo la Mtumba jijini Dodoma.

  • WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUISHI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI KWA AMANI

    WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUISHI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI KWA AMANI

    December 12, 2022

    WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUISHI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI KWA AMANI

  • YALIYOJIRI OKTOBA, 2022.

    YALIYOJIRI OKTOBA, 2022.

    December 12, 2022

    Tazama yaliyojiri Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwezi Oktoba, 2022.

  • KIPINDI: MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI,2022

    KIPINDI: MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI,2022

    December 12, 2022

    Kila ifikapo Oktoba 10 hadi 16 ya kila Mwaka Ulimwengu huadhimisha siku ya chakula ambayo hulenga kuihamasisha jamii kuzingatia matumizi ya makundi yote ya vyakula ili kuwa na kizazi chenye utimamu wa akili na mwili. Kwa mwaka huu wa 2022, Maadhimisho hayo kwa hapa nchini Tanzania yalifanyika kwenye Viwanja vya Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu huku Wizara ya Mifugo na Uvuvi ikiwa ni miongoni mwa washiriki tanzu wa maonesho hayo, Tazama yaliyojiri kwa ufupi

.