Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
KMM BW. TIXON NZUNDA AAGIZA MAMBO SITA KUFANYIKA KWENYE SHAMBA LA MIFUGO SAOHILL IRINGA
December 12, 2022.
-
Sekta ya Mifugo yawanoa Waelimisha rika wake!
December 12, 2022Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa Sekta ya Mifugo imeendesha warsha ya siku moja kwa ajili ya kuwawezesha Waelimisha rika wake elimu inayohusu Mwongozo wa kudhibiti virusi vya Ukimwi, Ukimwi na magonjwa sugu yasiyoambukizwa mahala pa kazi tukio lililofanyika leo (10.11.2022) Makao makuu ya Wizara hiyo yaliyopo eneo la Mtumba jijini Dodoma.
-
WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUISHI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI KWA AMANI
December 12, 2022WAZIRI NDAKI AWATAKA WAFUGAJI KUISHI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI KWA AMANI
-
YALIYOJIRI OKTOBA, 2022.
December 12, 2022Tazama yaliyojiri Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwezi Oktoba, 2022.
-
KIPINDI: MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI,2022
December 12, 2022Kila ifikapo Oktoba 10 hadi 16 ya kila Mwaka Ulimwengu huadhimisha siku ya chakula ambayo hulenga kuihamasisha jamii kuzingatia matumizi ya makundi yote ya vyakula ili kuwa na kizazi chenye utimamu wa akili na mwili. Kwa mwaka huu wa 2022, Maadhimisho hayo kwa hapa nchini Tanzania yalifanyika kwenye Viwanja vya Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu huku Wizara ya Mifugo na Uvuvi ikiwa ni miongoni mwa washiriki tanzu wa maonesho hayo, Tazama yaliyojiri kwa ufupi