Albamu ya Video

  • MTAZAME HAPA WAZIRI MPINA AKITANGAZA KUVUNJA MKATABA NA NICOL

    MTAZAME HAPA WAZIRI MPINA AKITANGAZA KUVUNJA MKATABA NA NICOL

    June 10, 2020

    Aagiza kampuni hiyo ilipe shilingi Bil. 9.7 ambazo Serikali ilipunjwa kwenye biashara ya machinjio.

  • Ziara ya Profesa Ole Gabriel ranchi ya Kongwa -Dodoma

    Ziara ya Profesa Ole Gabriel ranchi ya Kongwa -Dodoma

    June 10, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel jana (24.12.2019) alifanya ziara kwenye ranchi ya Kongwa iliyopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, Bofya hapo uweze kutazama ziara hiyo.

  • Fahamu kwa ufupi historia ya Mnada wa Mifugo uliaonzishwa mwaka 1954.

    Fahamu kwa ufupi historia ya Mnada wa Mifugo uliaonzishwa mwaka 1954.

    June 10, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ( MIFUGO) Prof. Elisante Ole Gabriel akielezea kwa ufupi historia ya mnada mkongwe wa Mifugo wa Themi uliopo jijini Arusha alipotembelea katika eneo hilo tarehe 21.12.2019.

  • Tanzania ni ya Pili kwa Wingi wa Mifugo- Prof. Ole Gabriel

    Tanzania ni ya Pili kwa Wingi wa Mifugo- Prof. Ole Gabriel

    June 10, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo Uvuvi akielezea na kutaja idadi ya mifugo iliyopo nchini hali iliyoifanya kushika nafasi ya pili barani Afrika.

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (ULINZI WA RASILIMALI ZA UVUVI KATIKA KUKUZA PATO LA TAIFA)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (ULINZI WA RASILIMALI ZA UVUVI KATIKA KUKUZA PATO LA TAIFA)

    June 10, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu majukumu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika kuhakikisha inalinda rasilimali za uvuvi ili ziweze kukuza pato la taifa na mtu mmoja mmoja.

.