Albamu ya Video

  • PROF. OLE GABRIEL ATEMBELEA BWAWA ALILOLISIMAMIA UJENZI WAKE ENEO LA BUTIAMA MKOANI MARA

    PROF. OLE GABRIEL ATEMBELEA BWAWA ALILOLISIMAMIA UJENZI WAKE ENEO LA BUTIAMA MKOANI MARA

    June 10, 2020

    Ni bwawa lililojengwa kwa thamani ya shilingi mil.50 ambalo pia limewekwa miundombinu ya kuwasaidia wananchi kupata maji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

  • KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UTAFITI, UGANI NA MAFUNZO KWENYE MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO NCHINI)

    KIPINDI: MIFUGO NA UVUVI (UTAFITI, UGANI NA MAFUNZO KWENYE MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO NCHINI)

    June 10, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaandaa mfululizo wa vipindi vya redio na televisheni ambavyo lengo lake kuu ni kutoa elimu na kukufahamisha majukumu ya wizara ya kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi kwa mwananchi na taifa kwa ujumla. Katika kipindi hiki utafahamu majukumu ya Idara ya Utafiti, Ugani na Mafunzo iliyo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi namna inavyohakikisha inaendeleza sekta ya mifugo nchini.

  • KATIBU MKUU MIFUGO ALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA HESTER

    KATIBU MKUU MIFUGO ALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA HESTER

    June 10, 2020

    Ni kiwanda kitakachozalisha chanjo za mifugo.

  • TAZAMA HAPA ZIARA YA KATIBU MKUU PROF. OLE GABRIEL KWENYE KIWANDA CHA TANCHOICE LEO!

    TAZAMA HAPA ZIARA YA KATIBU MKUU PROF. OLE GABRIEL KWENYE KIWANDA CHA TANCHOICE LEO!

    June 10, 2020

    Ni kiwanda cha kusindika nyama na mazao yake kilichopo Mkoani Pwani.

  • Ziara ya Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli - Mkoani Katavi

    Ziara ya Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli - Mkoani Katavi

    June 10, 2020

.