Albamu ya Video

  • Mafunzo ya kuongeza thamani ya Ngozi!

    Mafunzo ya kuongeza thamani ya Ngozi!

    June 17, 2020

    Kwa wadau wote wa mnyororo wa thamani wa bidhaa hiyo mkoani Mwanza.

  • Vyakula vya Mifugo lazima vikatiwe vibali, Tabora

    Vyakula vya Mifugo lazima vikatiwe vibali, Tabora

    June 17, 2020

    “Vibali vikatwe kwa Kusafirisha vyakula vya Mifugo nje ya nchi, alisema Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa malisho na rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe L Ruguza.

  • Waziri atatua Mgogoro wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (WMA) kinyemela

    Waziri atatua Mgogoro wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (WMA) kinyemela

    June 17, 2020

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina ametatua Mgogoro wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (WMA) ambayo ilianzishwa kinyume na utaratibu, Iliyofanyika katika Mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Maliwanda katika Wilaya ya Bunda

  • YALIYOJIRI MWEZI FEBRUARI, 2020

    YALIYOJIRI MWEZI FEBRUARI, 2020

    June 17, 2020

    Tafadhali tazama matukio yaliyojiri Mwezi Februari kwa Muhtasari ndani ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

  • Mitumbwi 68 ya kuvulia samaki iliyoshikiliwa katika Mwalo wa Nyamukoma kuachiwa Wavuvi

    Mitumbwi 68 ya kuvulia samaki iliyoshikiliwa katika Mwalo wa Nyamukoma kuachiwa Wavuvi

    June 17, 2020

    Mitumbwi 68 iliyoshikiliwa kwenye Mwalo wa Nyamikoma katika Wilaya Busega imeachiliwa baada ya Waziri mwenye dhamana ya mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina kuruhusu mitumbwi hiyo iachiliwe na kujiepusha na Uvuvi haramu.

.