Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
Mafunzo ya kuongeza thamani ya Ngozi!
June 17, 2020Kwa wadau wote wa mnyororo wa thamani wa bidhaa hiyo mkoani Mwanza.
-
Vyakula vya Mifugo lazima vikatiwe vibali, Tabora
June 17, 2020“Vibali vikatwe kwa Kusafirisha vyakula vya Mifugo nje ya nchi, alisema Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa malisho na rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe L Ruguza.
-
Waziri atatua Mgogoro wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (WMA) kinyemela
June 17, 2020Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina ametatua Mgogoro wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (WMA) ambayo ilianzishwa kinyume na utaratibu, Iliyofanyika katika Mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Maliwanda katika Wilaya ya Bunda
-
YALIYOJIRI MWEZI FEBRUARI, 2020
June 17, 2020Tafadhali tazama matukio yaliyojiri Mwezi Februari kwa Muhtasari ndani ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
-
Mitumbwi 68 ya kuvulia samaki iliyoshikiliwa katika Mwalo wa Nyamukoma kuachiwa Wavuvi
June 17, 2020Mitumbwi 68 iliyoshikiliwa kwenye Mwalo wa Nyamikoma katika Wilaya Busega imeachiliwa baada ya Waziri mwenye dhamana ya mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina kuruhusu mitumbwi hiyo iachiliwe na kujiepusha na Uvuvi haramu.