Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
"Katika awamu hii ya pili ya ujenzi hakikisheni kila jambo linafanywa na mtaalamu husika na msirudie
June 17, 2020"Katika awamu hii ya pili ya ujenzi hakikisheni kila jambo linafanywa na mtaalamu husika na msirudie
-
Shamba la Mifugo la Shishiyu kuwekewa mpango bora wa matumizi
June 17, 2020Msikilize hapa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel akielelezea kuhusu nia ya Wizara ya kuweka mpango maalum wa matumizi bora ya shamba la mifugo la Shishiyu lililopo Maswa Mkoani Simiyu.
-
BUZIRAYOMBO KUWA YA KIMATAIFA
June 17, 2020Tazama hapa namna Wilaya ya Chato na Wizara ya Mifugo na Uvuvi zilivyojipanga kuweka mnada wa kimataifa wa Upili katika eneo la mnada wa awali wa Buzirayombo .
-
"NARCO kuwa kitovu cha Mifugo na bidhaa zake baada ya Corona" Prof. Ole Gabriel
June 17, 2020"NARCO kuwa kitovu cha Mifugo na bidhaa zake baada ya Corona" Prof. Ole Gabriel
-
KIPINDI (ZIARA YA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI KWENYE SEKTA YA UVUVI MKOANI KAGERA.
June 17, 2020Ni makala ambayo huletwa kwako kwa lengo la kukuelimisha juu ya namna unavyoweza kujikwamua kiuchumi kupitia sekta za mifugo na uvuvi. Leo makala haya yanaangazia ziara ya kamati ya kudumu ya bunge ya kilimo, mifugo na maji kukagua maendeleo ya sekta ya uvuvi huko mkoani Kagera.