Albamu ya Video

  • Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi

    Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi

    June 20, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ( Uvuvi ), Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi wakati akifungua mafunzo ya maadili ya utumishi wa umma yaliyofanyika katika ukumbi wa St. Gasper - Dodoma. (18.06.2020)

  • Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi

    Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi

    June 20, 2020

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ( Uvuvi ), Dkt.Rashid Tamatamah akiongea na watumishi wa sekta ya uvuvi wakati akifungua mafunzo ya maadili ya utumishi wa umma yaliyofanyika katika ukumbi wa St. Gasper - Dodoma. (18.06.2020)

  • "Wataalam hakikisheni TVLA inapata ithibati ya kimataifa." Naibu Waziri Ulega

    June 20, 2020

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amepokea msaada wa vifaa vya maabara kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa ajili ya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) na kutaka wataalam kutumia vifaa hivyo vyema na kuhakikisha TVLA inapata ithibati ya kimataifa.

  • MHE.MAGUFULI KUHUSU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO YA URAIS WAKE.

    MHE.MAGUFULI KUHUSU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO YA URAIS WAKE.

    June 20, 2020

    Tazama hapa mafanikio aliyoyaainisha Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kipindi cha Miaka mitano ya Urais wake.

  • YALIYOJIRI MEI-2020

    YALIYOJIRI MEI-2020

    June 20, 2020

    Tazama hapa muhtasari wa matukio yaliyotokea ndani ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kipindi cha Mwezi Mei, 2020.

.