Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
TANGAZO KWA WADAU WOTE WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
July 01, 2020 -
TAARIFA KWA WATAALAM WA MIFUGO
June 27, 2020"Wataalam wote wa mifugo ni lazima wahuishe taarifa zao kwenye daftari la usajili, daftari la kuandikishwa na daftari la kuorodheshwa" Dr. Masuruli.
-
Ziara ya timu ya wataalam kutoka ILALA MC
June 27, 2020Tazama kwa ufupi ziara ya wataalam kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Ilala walipotembelea machinjio ya Dodoma kwa ajili ya kupata uzoefu na kujifunza namna ya kuendesha machinjio ya kisasa leo (26.06.2020)
-
Prof. Ole Gabriel alivyoupokea ujumbe kutoka Manispaa ya Ilala
June 27, 2020Tazama hapa namna Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi alivyoupokea ujumbe kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Ilala uliofika kwa ajili ya kupata uzoefu wa kuendesha machinjio kisasa.
-
Vikundi 25 vyanufaika na kuku kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi
June 27, 2020Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhi vifaranga vya kuku aina ya 'kroiler' kwa vikundi 25 kutoka Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani ikiwa ni sehemu ya ahadi aliyoitoa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega Oktoba 4, 2019 wakati wa mafunzo ya ufugaji katika wilaya hiyo.